Tragedy

Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162

Ndege ya shirika la AirAsia Indonesia iliyokuwa ikisafiri kutoka Indonesia kwenda Singapore ikiwa na watu 162 ndani yake imepotea.

BN-GE447_1228ai_J_20141228013543

Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea katikati ya safari yake zaidi ya masaa mawili kutoka mji wa Surabaya.

BN-GE458_1228ai_J_20141228035643

Hali mbaya ya hewa iliripotiwa kutoka kwenye eneo hilo na shughuli za uokozi zimesitishwa hadi Jumatatu asubuhi.BN-GE488_1228ai_J_20141228083137

Ndege hiyo ilikuwa na raia 155 wa Indonesia na wengi kutoka Korea Kusini, Ufaransa, Malaysia, Singapore na Uingereza.

Abiria ha ni pamoja na watoto 17.

BN-GE499_1228ai_J_20141228101426

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents