Burudani

Nazizi aanza kuwatisha wababe mtaani

Rapa wa kike kutoka nchini Kenya, Nazizi amepost picha zilizoanza kuwatisha wababe wa mtaani.

Chrissy-Teigen-John-Legend

Nazizi aliwahi kuwa rapa pekee kwenye kundi la East African Bashment Crew na kufanikiwa kutengeneza jina ukanda wa Afrika Mashariki.

Kutokana na picha alizopost sasa Nazizi anonekana ameanza kuiva kwa mazoezi anayoyafanya chini ya mwalimu wake Zola D na kuwafanya watu waanze kumuogopa pindi wakimuona mitaani anakatisha.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents