Burudani

Nay wa Mitego amsihi Raymond amwandikie Madee nyimbo

Nay wa Mitego ameuweka uhasimu wake na Madee kwa kumuomba Raymond amsaidie rais huyo wa Manzese kumwandikia nyimbo.

Nay alitoa ushauri huyo baada ya watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, kumsikilizisha wimbo mpya wa Madee, Hela akiamini kuwa hauna kiwango cha kuridhisha.

“Nimeusikiliza, nimemuona Raymond anatakiwa kurudi sehemu kuwasaidia kaka zake,” alisema Nay.

Kwa muda sasa Nay na na Madee wamekuwa kwenye uhasama kimuziki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents