Burudani

Nay wa Mitego ahamishiwa kituo cha kati cha polisi Dar

Rapper Nay wa Mitego amehamishiwa katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam kutoka Mvomero, Morogoro alikokuwa ameshikiliwa na polisi kuanzia asubuhi ya Jumapili, March 26.

Taarifa hiyo imetolewa na mwanasheria maaarufu nchini, Peter Kibatala.

Rapper huyo yupo matatani baada ya kuachia wimbo mpya uitwao Wapo unaikosoa vikali serikali ya Rais Dkt John Magufuli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents