Burudani

Navy Kenzo watajwa kutumbuiza kwenye Hipipo Awards 2017 Uganda

Kundi la Navy Kenzo limetajwa kutumbuiza katika sherehe za utoaji tuzo za Hipipo Music Awards 2017 za Uganda.

Wasanii wengine ambao watawasha moto katika jukwaa hilo ni pamoja na Navio, Bebe Cool, Ziza Bafana, Maureen Nantume, Sauti ya Africa, Charlyand Nina na wengine.

Tuzo hizo zinatarajia kutolewa Jumamosi hii ya Februari 4 katika ukumbi wa Kampala Serena Hotel.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents