Burudani
Mzungu kichaa aja upya
Mwanamuziki mkongwe katika miondoko ya Bongo Fleva Mzungu Kichaa, alikuwa akitoa buludani katika ukumbi wa Runway, uliopo katika jingo la Shopper.
Msanii huyo alisema kwa sasa amaekuja na Dj, mpya ambaye ametokea Ulaya na kuja kumfanyia Remix nyimbo zake kwaajiri ya kuziweka kwenye ubora zaidi.
Anasema Dj huyo alitokea kumkubali kipindi alipokuwa akiimba katika tamasha la Sauti za Busara kule Zanzibar, na kuungana pamoja kwaajiri ya kufanya kazi ya Kimuzidi.
(Mzungu kichaa akiimba katika moja ya nyimbo zake)
Watu wakipata buludani iliyotolewa na Mzungu Kichaa, katika ukumbi wa Runway
Mzungu kichaa akiimba kwa hisia kari