Burudani
Mzee kijana
Nguli wa muziki nchini, Zahir Ali Zorro ameonyesha jinsi gani alivyougomea umri wake kumzuia kwenda sawa na wanamuziki wa kizazi kipya. Ukiachana na maonyesho ya hapa na pale na bendi ya B Band na kolabo ya Ripoti za mtaani aliyoshirikishwa na Fid Q,Mkongwe huyu yuko mbioni kuachia ngoma nyingine ya hip hop akishirikiana na Mr Blue na Baby Boy inayotengenezwa chini Zizzou Entertainment
Kwa sasa, Mr Zorro anatamba na singo yake yake ya Barua pepe