Michezo

Mwana FA awashushua Kili Music Awards, waligoma kuunominate wimbo wa AY ulioshinda CHOMVA 2012

Wanasema nabii hakubaliki kwao.Usemi huu umedhihirika weekend hii baada ya wimbo wa AY aliowashirikisha Sauti Sol, I don’t wanna be Alone kutwaa tuzo ya video bora ya wimbo wa Afrika Mashariki katika tuzo za CHOMVA 2012.

Na leo kupitia mshikaji wake mkubwa na AY, Mwana FA ambaye alimshindikiza nchini Afrika Kusini kuchukua tuzo hiyo, imebainika kuwa kumbe, kamati ya tuzo za Kilimanjaro Music Awards ilikataa kuunominate wimbo huo kuwania tuzo za mwaka huu.

“Back to the drawing board,hii wimbo imeshinda huku,si ‘kill music awards’ waliigomea,kuwa haikuwa inafaa hata kuwa kwenye nominations zao?” ametweet Mwana FA.

What! Wait a minute Mwana FA! Do you mean’KILL MUSIC AWARDS’ or Kili Music Awards?? hahahaha

“Ina maana viwango vyao ni vya juu hivyo?kuwa unaweza shinda channel O vya kwao ukawa hujavifikia?ama kubana kwao kwa kipuuzi kumeumbuliwa? I’m not mad..what my boy @AyTanzania won is much much bigger than ‘KILL music awards’..I’m just concerned…that was ALL.”

AY ni jiwe walilolikataa waashi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents