Mshiriki wa big brother Stargame Africa 2012 na msanii wa bongoflavour wa Tanzania Julio Batalia .Amechia ngoma mpya ya Tano aliyoimba kwa lugha ya kingereza Kwa mara ya kwanza.. Ngoma inayoitwa ‘ WABO ‘ . Iliyotayarishwa na ma producer wawili.. Mmoja akiwa anaitwa Frankboimusic(Frank Mutta) Mtanzania anayeishi California ambaye anafanya Kazi na wasanii wakubwa Kama Designer na Gucciman, na producer machachari Christone ambaye yupo Kwenye studio za flavour records.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
New Video: Jamwe He Ft Chege -NadoJanuary 17, 2018 - 12:44 am
-
Video: Ivrah – TusheherekeeDecember 25, 2017 - 5:01 pm