Michezo

Mshambuliaji wa Ghana Asamoah Gyan akanusha kumtoa kafara rafiki yake

Mshambuliaji wa zamani wa Sunderland, Asamoah Gyan amekanusha kumuua rapper ambaye ni rafiki yake kwaajili ya kafara.

Asamoah-Gyan-main

Rapper Castro na mpenzi wake, Janet Bandu, walizama kufuatia ajali ya boti wakati wakiwa likizo na Gyan kwenye ufukwe wake huko Ada, kusini mwa Ghana.

Castro-the-Ghana-musician-is-feared-dead-after-he-was-involved-in-a-boat-accident-with-soccer-star-Asamoah-Gyan
Castro

Hata hivyo hadi leo polisi wameshindwa kuipata miili yao na hivyo kuwepo kwa tetesi kuwa maiti ya Castro ilitumika kishirikina kama njia ya Gyan kupata fedha zaidi. July 4 Gyan aliwaalika marafiki zake kwenye kiota cha Aqua Safari Resort, ambako walihudhuria watu zaidi ya 10.

Hata hivyo July 6, Castro na mpenzi wake Janet Bandu alichukua boti na kushindwa kurejea.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents