Burudani

Msami: Barakah The Prince hana nguvu ya kuwa mume wa Naj

Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Step by Step’ amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma.

14677488_696594743828085_4748995835117699072_n

Ametoa kauli hiyo baada ya Barakah kumtukana Msami baada ya kukoment katika akaunti ya Instagram ya Naj.

14334352_1800843720162995_7429763367281098752_n

Akiongea na E-News ya EATV, Msami alisema, “Kwanza Barakah ajue Naj sio mke wake, wala mchumba wake ni boyfriend na girlfriend tu. Kwahiyo Barakah hana nguvu ya mume wala mchumba kwa Naj. Kwahiyo hata mtu mwingine anaweza kuleta fujo na kutupa kete yake. Halafu mie ni expensive sana kwa Naj watu ambao naweza kurusha kete yangu kwa watu ambao ni expensive ambao wapo kwenye level yangu kama mimi. Naj yupo kwenye level ya Barakah na mimi nipo kwenye level nyingine kabisa za juu. We angalia watu wangu awe Uwoya au Kajala, kwahiyo mimi ni expensive sana.”

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents