Habari
Mrisho Mpoto ateuliwa kuwa balozi wa tuzo za Kora Tanzania
Waandaji wa tuzo za Kora wamemteua Mrisho Mpoto kuwa balozi wake nchini Tanzania.
Kora imemtumia barua Mpoto kumtaarifu kuhusu uteuzi huo.
“KILA ASUBUHI TUNAOMBA TUPATE NAFASI YA KULETA BABADILIKO KATIKA MAISHA YA WATU, LEO TIMEPATA ASANTE TUZO ZA KORA KWA KUNICHAGUA KUWA BALOZI WA HERI KWENYE NCHI YANGU YA TANZANIA NAAMINI TUNAWEZA KUPIGANIA AFRICA ISIYO NA EBOLA, NAAMINI AFRICA INAUWEZO WA KUTATUA MASUALA YAKE. #afrikakwetu #afrikakwetu #newday #newresponsibilities,”ameandika Mpoto kwenye Instagram.