Habari

Mnenguaji wa Twanga Pepeta Aisha Madinda afariki dunia

Mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta na Extra Bongo, Aisha Madinda amefariki dunia leo.

image

Taarifa kuhusu kifo chake kimedai kuwa mnenguaji huyo mahiri amefariki kwenye hospitali ya Mwananyamala. Zingine zinadai alifikishwa katika hospitali akiwa ameaga dunia tayari.

image

Bado haijafahamika alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa gani. Taarifa zaidi zitakujia baadaye

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents