Burudani
Mkubwa Fella aja na wadogo wapya
Meneja wa kundi la muziki wa kizazi kipya, Mkubwa Fella amesema anatarajia kuachia wanamuziki wapya kutoka katika Priject yake mpya ya mkubwa na Wanawe. Amesema vijana hao ni Dulayeyo na Samurai ambao kila mmoja anawimbo wake ambao hivi karibuni anatarajia kuzitambulisha
Fela anasema wanamuziki hao anawaamini, na ndiyo maana ameamua kuwaingiza katika kundi hilo ambalo kazi zake wamefanyia chini ya Producer Sureshi
Dulayeyowa mbee na Samurai ambao kwa pamoja wapo kwenye Project ya Mkubwa na wanaye, ambaye kwa sasa Dulayeyo anatamba na Kibajaji wakati anasubiri kuitambulisha wimbo wake mpya.
Mwanamuziki Dulayeyo akiwa na wenzake katika wa kusheki staili ya kiduku, wakiwa miongoni mwa Project ya Fella na Wanawe.