Burudani

Miss Hondurus 2014 auawa, ni pamoja na dada yake

Mwili wa mshiriki wa Miss World aliyepotea siku chache kabla ya kusafiri kwa ndege kwenda London kwaajili ya mashindano hayo umepatikana.

1798456_10154153074180179_6793390615178733613_n

Miss Honduras, Maria Jose Alvarado, 19, na dada yake Sofia Trinidad, 23, wamepatikana leo wakiwa wameuawa. Maria – aliyeshinda taji la Miss Honduras – alipotea akiwa na dada yake baada ya kuhudhuria sherehe ya siku ya kuzaliwa ya rafiki yao Alhamis iliyopita.

Watu wanne akiwemo boyfriend wa Sofia wamekamatwa.

Honduras, nchini maskini yenye watu milioni nane pekee ni miongoni mwa nchi zenye uhalifu zaidi duniani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents