Habari
Video: Mgonjwa wa Ebola apatikana kwa mara ya kwanza Marekani
Kwa mara ya kwanza, mgonjwa aliyelazwa kwenye hospitali ya Marekani amepatikana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.
Mwanaume huyo ambaye bado hajatambulika na anayetibiwa kwenye hospitali ya Dallas, hakuonesha dalili zozote hadi siku nne au tano baada ya kuwasili Marekani Liberia.
Habari hiyo imesababisha hofu kubwa nchini Marekani.