Bizzare

Mchina aomba uchumba kwa kutoa iPhone 6, 99 (milioni 149), mwanamke akataa!!

Mwanaume mmoja wa China amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kumuomba uchumba mpenzi wake kwa mkwara wa kununua iPhone 6, 99 zenye thamani ya £55,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 149.

1415702552208_wps_8_Man_spends_50_000_on_iPho

Hata hivyo pamoja na kupanga maboksi hayo 99 ya simu hizo kwenye umbo la kopa, mpenzi wake alikataa ombi lake.

1415702560597_wps_9_Man_spends_50_000_on_iPho

Picha za tukio hilo zimesambaa kwenye mtandao wa Weibo wa China. Aliamua kualika washkaji zake kushuhudia tukio ambalo liligeuka kuwa la aibu kwake. Inasemekana kuwa sasa hivi jamaa anahaha kutafuta wateja kuuza simu zake kwa bei ya hasara.

1415702567358_wps_10_Man_spends_50_000_on_iPho

By Daily Mail

149,325,000

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents