Michezo
Picha: Maulid Kitenge aacha kazi Radio One na kujiunga na EFM
Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi na kwenye kituo hicho na kujiunga na kituo kipya cha redio, EFM.
Kitenge akisaini mkatana wa kujiunga na EFM, kushoto ni Mkurugenzi wa Vipindi, Dickson ‘Dizzo’ Ponela
Namshukuru sana Mungu leo nimemaliza miaka 14 ya kutumika kuwa kama mtangazaji wa michezo Radio one Stereo na hakika naondoka rasmi.
— Maulid Kitenge (@mshambuliaji) August 18, 2014
Maulid Kitenge amefanya kazi Radio One kwa miaka 14.
Picha: Mtaa kwa Mtaa