Michezo

Man city yakumbana na rungu la FA

Klabu ya Manchester City wamepigwa faini ya Pauni 35,000 na chama cha soka cha England FA kwa kosa la kushindwa
kuwadhibiti wachezaji wake kwenye mchezo dhidi ya Liverpool Machi,19,2017 ulio chezwa katika uwanja wa Etihad.

Wachezaji wa City walionekana kumzonga mwamuzi Michael Oliver katika dakika ya 50 ya mchezo baada ya kuwapatia Liverpool Penati.

Liverpool walipata penati hiyo kufuatia Roberto Firmino kuchezewa madhambi na Gael Clichy katika eneo la hatari ,na ikawekwa kimiani na James Milner kabla ya Sergio Aguero kusawazisha dakika ya 69 mechi ikiisha kwa sare ya 1-1.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents