Michezo
Man City na Man United uso kwa uso April 27 kwenye EPL
Mechi kati ya Manchester City na Manchester United imethibitishwa kuwa itapigwa siku ya Alhamisi, April 27,2017 katika uwanja wa Etihad.
Mechi hiyo ambayo ilibidi ichezwe Februari,26 lakini ikaahirishwa kutokana na Manchester United siku hiyo walikuwa wakicheza fainali ya EFL Cup dhidi ya Southampton.
Hivyo kikosi hicho cha Jose Mourinho kitacheza mara 3 katika siku ya Alhamisi katika mwezi April.