Burudani

Mama mkwe wa Kanye West amtaka yeye na Kim Kardashian waondoke kwenye nyumba yake

Mama yake na Kim Kardashian, Kris Jenner anadaiwa kumtaka binti yake huyo pamoja na mchumba wake Kanye West waondoke nyumbani kwake.

Kim-Kardashian-Kris-Jenner-Splash-1024x821
Kim akiwa na mama yake

Ni Kris ndiye aliyemwalika Kim wakae pamoja baada ya mrembo huyo kujifungua mtoto wake, North West, June 2013, kwakuwa nyumba yao ya Bel Air ilikuwa bado ikiendelea kujengwa.

kimkanye

Lakini kwa sasa mwanamke huyo mwenye miaka 58 amechoka kujisikia kama mgeni kwenye nyumba yake mwenyewe na inadaiwa kuwa alimpigia simu mhandisi wa nyumba ya Kim kwa siri kumwambia akaze mkono amalize nyumba hiyo ili mwanae aondoke.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents