Michezo

Mali ya fungiwa na FIFA michuano ya kimataifa

Fifa imetangaza kuifungia nchi ya Mali kushiriki michuano ya kimataifa kwa madai ya serikali kuingilia masuala ya soka.

Waziri wa Michezo wa Mali, Housseini Amion Guindo aliamua kuunda kamati ya muda kuendesha Shirikisho la Soka la Mali (Femafoot) baada ya kuona uongozi uliokuwa madarakani kutokuwa sahihi.

Lakini baada ya Femafoot kufikisha malalamiko yake Fifa, shirikisho hilo la soka la limataifa, likaiamuru serikali ya Mali, kuvunja kamati hiyo hadi Ijumaa.

Hii ndio baraua ya FIFA kwenda kwa Mali

Baada ya kuona hakukuwa na utekelezaji hadi leo usiku huku zikiwa zimebaki saw chache kabla ya muda kufika, Fifa imetangaza kuifungia Mali.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents