Michezo

Malaika Mihambo: Mjerumani/Mtanzania aliyeikaribia medali ya dhahabu Olimpiki 2016

Inafahamika kuwa Alphonce Felix Simbu ndiye Mtanzania pekee aliyeibakiza ‘hivi tu’ aimiliki medali kwenye michuano ya Olimpiki iliyomalizika mjini Rio de Jeneiro, Brazil kwenye marathon.

Malaika Mihambo
Malaika Mihambo

Lakini kuna mwanamichezo mwenye damu ya Tanzania, mwenye CV moja matata sana aliyeinusa pia medali kwenye michuano hiyo.

Athletics+Olympics+Day+12+lGV-1JOOCJhl

Thanks, kwa AY kwa kunitambulisha kwa Malaika Mihambo, Mjerumani mwenye asili ya Tanzania. ‘Mihambo’ jina la kisukuma hili kutoka kwa baba yake.

Athletics+Olympics+Day+12+lmSSa5FcfLLl

Ni mrukaji wa umbali mrefu wa Ujerumani aliyezaliwa February 3, 1994. Alikamata nafasi ya nne kwenye fainali za long jumb kwenye Olimpiki, Rio 2016.

Athletics+Olympics+Day+12+Km9UCF2h7yul

Well, pamoja na kuikosa medali ya Olimpiki mwaka huu, Malaika anazo kadhaa za mashindano makubwa.

590464542

Alishinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya vijana ya Ulaya mwaka 2013 na kushika nafasi ya nne kwenye mashindano ya Ulaya mwaka 2014.

Sport-Stipendiat 2014

Baba yake, Mihambo anatokea Zanzibar lakini msukuma wa Mwanza. Mama yake ndiye Mjerumani. Si wanasema mtoto hufuata utaifa wa baba? Sasa mbona huyu wa kwetu kabisa?

csm_wester_kaether_mihambo_em16_foto_iris-hensel_9d9b4cf40f

January 2014, alitajwa kuwa mwanamichezo kijana wa mwaka 2013 wa Ujerumani.

DSC_4685-682x1024

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents