Bizzare

Makamu Waziri Mkuu wa Uturuki apiga marufuku wanawake kucheka hadharani

Wanawake nchini Uturuki wanapost picha zao kwenye mitandao ya kijamii zinazowaonesha wakicheka. Kwanini?

Btyqm8hIcAAVUcK.jpg large

Kwa mujibu wa makamu waziri mkuu wa Uturuki Bulent Arinc, wanawake hawatakiwi kucheka hadharani. Maoni yake aliyoyatoa Jumatatu hii yamesababisha upingwaji mkubwa ambapo wanawake nchini humo wametumia Twitter na Instagram kupost picha wakicheka kumdhihaki.

Btyp4kWCcAEVm9H

Hadi sasa kuna zaidi ya 300,000 zinazotumia neno “kahkaha” – lenye maana a kicheko na hashtag kama “Resist Laughter” (#direnkahkaha) na “Resist Woman” (#direnkadin). Wengi wanadai kuwa serikali inapaswa kushughulika na masuala muhimu kama ubakaji, ukatili wa nyumbani, na ndoa za wasichana wenye umri mdogo na sio kuzuia wanawake kucheka hadharani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents