Habari
Majina ya wasanii watakaowania Channel O Africa Music Video Awards 2013 kutangazwa kesho
Channel O inatarajia kutangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za mwaka huu za Channel O Africa Music Video Awards kesho.
AY akipokea tuzo, CHOMVA 2012
Channel O announces the nominations for the 2013 Channel O Africa Music Video Awards on Tuesday! In… http://t.co/dDQEISS3QL
— Channel O (@ChannelOTV) August 29, 2013
Mwaka jana, AY na Cpwaa walitajwa kuwania tuzo hizo ambapo AY alishinda kipengele cha video bora ya wimbo wa Afrika Mashariki.
AY na Mwana FA
Kuna msanii yeyote wa Tanzania atatajwa kuwania mwaka huu? Hilo ndio swali?