Siasa
Magufuli amteua Kikwete kuwa Mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM
Rais Dkt John Pombe Magufuli amemteua Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM.
Chini ni taarifa ramsi kutoka ikulu: