Burudani

Madee akabidhiwa rasmi mtoto wake wa kike aishi naye

Rais wa Manzese, Madee amekabidhiwa rasmi mwanae wa kike kuishi naye.

11931183_134534633557830_1163306720_n
Madee akiwa amemfuata mtoto wake shule

Akizungumzana Bongo5 leo, Madee alisema mtoto huyo alikaa kwa mama yake kwakuwa umri wa kukabidhiwa ulikuwa haujafika.

11849062_684388241662636_94885559_n

“Unajua yule ni mtoto wangu na sikuwa nae kwa sababu alikuwa hajafika umri wa kukadhiwa ili niweze kukaa naye. Na sheria yetu inasema mpaka miaka 8, mama yake anakaa kwake na mimi nakaa kwangu.

Kwahiyo muda mwingi sana alikuwa na mama yake ila baada ya kutimiza umri kukabidhiwa na kuweza kukaa naye ndo umefika. Sasa hivi nipo naye, nafurahi sana.”

11350721_872511546169533_1409152257_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents