Burudani

Mabeste: We are getting married soon, kufunga ndoa na baby mama wake

Rapper Mabeste tayari amefanikiwa kuwa baba, baada ya mchumba wake Lisa Karl Fickenscher
Kujifungua July 2013. Hivi sasa Mabeste ameona ni wakati muafaka wa kuiaga rasmi timu ya ukapela kwa kufunga ndoa na kuwa na familia iliyokamilika.

mabeste n mchumbamabeste

Kupitia Facebook Mabeste ameonesha nia ya kumfanya mama Kendrick kuwa mke halali wa ndoa kwa kuandika:

mabeste na mchumba

“Wow!! We are getting married soon…mama ken nishike mkono nipeleke high level…. sayari nyingine juu bye devil!”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents