Burudani

Lulu kuizindua filamu yake mpya ‘Foolish Age’ August 30

Muigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael aka Lulu anatarajia kuvunja ukimya wake kwenye big screen kwa kufanya uzinduzi mkubwa wa filamu yake mpya ‘Foolish Age’ tarehe 30 mwezi huu kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

BPioqRICEAAvPGK

Uzinduzi huo utasindikizwa na burudani kutoka kwa Lady Jaydee na Machozi Band.

“Hatimaye narudi kazini, nahitaji support ya mashabiki wote wa Lulu na mashabiki wa Bongo Movie,” anasema Lulu.
Kiingilio kwenye uzinduzi huo kinatarajia kuwa shilingi 30,000.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents