Michezo

Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania

Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa.

_83544342_027621502-1

Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake.

jorge3
Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi (katikati)

Kama baba yake atashtakiwa, atakabiliwa na kifungo cha miezi 18 gerezani na faini ya pauni milioni 2.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents