Burudani

Linah adai penzi lake na Mganda ni imara zaidi ya saruji

Hitmaker wa Ole Temba, Linah Sanga amesema uhusiano wake na raia wa Uganda, Williams Bugeme ni imara zaidi ya vile wengi wanavyodhani.

11326146_700917846705281_816841058_n

Linah ameiambia Bongo5 kuwa uvumi kuwa tayari wameachana na mpenzi wake huyo, umetokana na kuonekana kutokuwa naye karibu kama zamani.

“Mimi nashangaa watu wanataka nini?” amehoji. “Watu wanafikiri mimi na mpenzi wangu tunaweza kuachana kirahisi! Sisi tunapendana kweli. Sema sasa hivi tumeamua kuacha kuweka picha zetu mara kwa mara kwenye mitandao, ila sisi tupo poa na kila mtu anaendelea vizuri.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents