Burudani

Lady Jaydee kuachia ngoma mpya April 10

Lady Jaydee anatarajia kuachia ngoma yake mpya April 10.

10336650_10152393917830025_9111130432809932832_n

Katika mradi wake mpya uliofanyika nchini Afrika Kusini, Lady Jaydee amemshirikisha Mazet kutoka kundi la Mina Nawe pamoja na Uhuru.

Akiongea na E-News ya EATV, Lady Jaydee amesema kazi hiyo itakuwa na utofauti wa ladha ambayo hajawahi kuifanya kwa kuunganisha mawazo na pia uwezo na wasanii hao.

Ngoma hiyo itatoka na video yake.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents