Burudani

Kuwa makini na story za mtandao wa Global Associated News!


Hivi karibuni hujasikia watu wakiulizana, “umesikia 50 Cent amekufa kwa ajali ya gari?” Na kwa wale waandishi wenye allergy na ‘Google’ huenda moja kwa moja kwenye blog zao na kuandika kichwa cha habari kwa mbwembwe nyiiiingi kuwa ana breaking news kuwapa wasomaji wake, “50 Cent hatuko naye tena, afa kwa ajali mbaya ya gari,” kumbe kaingia chaka! Akisikia kuwa zilikuwa ni story za uzushi tu, anageuka kuwa mdogo kama pilton na siku inaharibika.
Kiukweli mchezo huu sasa hivi umekuwa maarufu sana na wengi wanaingia mkenge kwa kufikiria ni kweli. Kumbe ni wapuuzi fulani tu ambao wameamua kucheza na akili za watu. Ni ngumu kujua lengo lao, kwakuwa tukisema wanataka kuongeza traffic ya wasomaji kwenye website yao tunapata mashaka kuamini kwasababu wanatumia story hiyo hiyo moja, picha ile ile,halafu wanabadilisha tu majina.Leo watasema 50 Cent, kesho Usher,kesho kutwa Drake lakini story ni ile ile neno kwa neno!
So leo blog moja iitwayo sambweti.blogspot.com imeandika story yenye kichwa cha habari: Breaking news…………..Usher Dies In Car Cras! Akimaanisha ‘Crash’
Kwa kujiamini akaweka msisitizo, “follow the link its tell all about the accident and if you will not satisfy the words just go the bottom of the story there is another link go ahead”
Ni rahisi kutambua ni mwandishi wa aina gani kutokana na kiingereza chake hapo juu!
Anyways, story hizi zinasambazwa na mtandao uitwao Global Associated News!
Huu ndo mfumo wa jinsi story hiyo wanavyoiandika:
THIS STORY IS STILL DEVELOPING…
(Local Team News 9) Usher died in a single vehicle crash on Route 80 between Morristown and Roswell. He was pronounced dead at the scene by paramedics responding to the vehicle accident and was identified by photo ID found on his body. Alcohol and drugs do not appear to have been a factor in this accident – June 26, 2012
Highway Safety Investigators have told reporters that Usher lost control while driving a friend’s vehicle on Interstate 80 and rolled the vehicle several times killing him instantly.
The vehicle was believed to have been traveling at approximately 95 miles per hour in a 55mph zone at the time of the accident.

Witnesses have stated that Usher’s car crossed the double lines several times prior to the accident and hit the center lane divider causing the vehicle to flip and roll.
Toxicology tests will be performed to determine whether he was driving under the influence, however initial findings indicate that durgs or alcohol did not contribute in any way to this accident as it was more likely to been caused by road conditions.
Memorial services for Usher have not yet been announced. The service is expected to be a closed casket funeral due to the severe head trauma.
Additional details and information will be forthcoming as they become available.
Ushauri: Tujitahidi kutumia Google kuthibitisha masuala ya msingi kabla hatujayasema ama kuandika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents