Burudani
Kim Kardashian akosolewa kwa kumkata (crop) mwanae North kwenye picha!
Malikia wa Selfie, Kim Kardashian amejikuta akipokea madongo kwenye Twitter baada ya kumkata mwanae North kwenye picha.
“Are you seriously that narcissistic and VAIN? You crop out your own child so everyone can focus more on you? Ick… Pathetic,” aliandika mmoja.
Mwingine aliandika: Just because you be looking all cute doesn’t mean you gotta crop your daughter out of the picture.”
Baada ya kuona hivyo, Kim alitweet:
Wait is this really news that I posted a selfie & cropped my daughter out? LOL
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 15, 2014
Her eyes were closed and I was feeling my look! Can I live?!?!
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 15, 2014