Burudani
Kesi yazuia ziara ya Justin Bieber nchini Argentina
Justin Bieber amewaambia mashabiki wake hata kuwa na tour ya nchini Argentina.
Mwaka 2013 Bieber alifungiwa kuingia nchini Argentina kutokana na kesi ya shambulio inayomkabili wakati wa ziara yake kwenye nchi hiyo.
Kupitia akaunti ya Twitter, Bieber aliandika: “’Argentinian beliebers I would like nothing more than to bring the #purposetour there but until the legal conditions change there I can’t.”
Kwa sasa Bieber anafikiria kupanua ziara zake kwenye nchi za Japan, Amerika Kusini na Australia.