Burudani

Justin Bieber awakomesha TMZ kwenye siku ya wajinga duniani

Justin Bieber ameamua kulipiza kisasi kwa TMZ jana kwenye siku ya wajinga duniani. Website hiyo imekuwa ikimfuatilia staa huyo kila siku kwa habari mbaya na jana aliamua kuwageuzia kibao.

justin_bieber_leather_pants_bl

Jana Bieber alitweet kwa followers wake wafikikao milioni 37, “As promised taking all fan phone calls TODAY at (888) 847 9869. Talk to u soon!” Of course, namba hiyo sio yake bali ni ya TMZ.

Bieber aliongeza tena kwa kuandika, “Did everyone call me yet?” Kwakuwa namba hiyo ni ya bure kupiga (toll free), TMZ watalazimika kulipia bili yake simu zote.

Ripota wa TMZ Dax Holt alitweet: Best April fools joke goes 2 @JustinBieber. He tweeted out TMZs phone # saying he would be taking fan calls. Well played Bieber, well played.”

Aliongeza: The phones here at TMZ won’t stop ringing!!#BieberAprilFoolsJoke LOL! So funny.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents