Burudani

Jose Chameleone kushiriki msimu mpya wa Coke Studio Africa

Maandalizi ya msimu mpya wa kipindi cha Coke Studio Africa yameanza.

10959306_767324090011310_4897117594094616240_n

Na habari kutoka vyanzo vya uhakika vimedai kuwa Jose Chameleone ni mmoja wa wasanii wa Uganda wanaoweza kushiriki mwaka huu.

Chameleone ataungana na mastaa wengine wa Afrika kwenye show hiyo ambayo mwaka huu inaingia msimu wa tatu.

Mwaka jana Vanessa Mdee, Diamond, Joh Makini na Shaa waliiwakilisha Tanzania kwenye show hiyo. Kuna tetesi kuwa mwaka huu Ali Kiba atakuwa mmoja wa wasanii kutoka Tanzania watakaoshiriki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents