Burudani

Jokate akutana na Beyonce, Jay Z na Blue Ivy kwenye NBA All-Star Game

Kukutana na Jay Z na Beyonce ni suala gumu, kukutana nao na ukashikana nao mikono na kuzungumza mawili matatu nao ni suala gumu zaidi. Lakini bahati hiyo ya mtende imeamuangukia mrembo wa Tanzania, Jokate Mwegelo Jumapili hii.

Siamini: Jokate Mwegelo akisalimia na Jay Z huku mtoto wake, Blue Ivy akiamtazama kwa makini. Pembeni yao ni Queen Bey

Jojo amefanikiwa kukutana na The Carters wakiwa na mtoto wao, Blue Ivy kwenye mchezo wa NBA All-Star Game uliofanyika Jumapili mjini New Orleans, Louisiana kwenye uwanja wa Smoothie King Center.

“So NBA Africa took me courtside and I haaaaaaad to say hello to the Carters,” ameandika Jokate.

“OMG ????????????????. @beyonce is super cute and I can’t believe she shook my hand and was like nice to meet you. ????????????????. I was like wait I need a picture, I came all the way from Tanzania for this B ????. She’s so sweeeeeet and I’m so lucky lmao,” ameongeza.

“Thank you @beylite @balleralert for this pic I couldn’t snap one as I was shocked and still in disbelief. ???? #Beyonce #Beylite #NBAAfricaGame #NBAAllStar #Kidoti ????????????????????????????????.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents