Burudani

Jokate ajipanga kujitambulisha rasmi kama mwanamuziki kupitia kampuni yake

Ndoto ya kufanya muziki kwa asilimia 100 haijayeyuka, bado ipo kichwani mwa Jokate Mwegelo.

10471839_692689714112003_356111825_n

Baada ya kushirikiana na Lucci kwenye Kaka Dada, mrembo huyo amedai kuwa mpango uliopo ni yeye kujitambulisha rasmi kama mwanamuziki kupitia kampuni yake.

“Sasa hivi nataka nijiintroduce kama mimi as a music artist,” Jokate alikiambia kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya ambako alienda kikazi.

“Kwahiyo niwe na single zangu mwenyewe ambazo nazifanyia kazi kupitia kampuni yangu mwenyewe, that’s the way forward.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents