Burudani
Joh Makini ndani ya Billz
Kama ilivyo ada, Kila Jumapili pale Club Bilicanas, wasanii hupata nafasi ya kuingia jukwaani na kukonga nyoyo za mafans,
Bongo 5 ilikuwa sambamba na Joh Makini jana alipokuwa anakamua hapo bilz na kupandisha mizuka ya mashabiki kupitia nyimbo zake kama ‘Stimu Zimelipiwa’.
Joh Makini akibless crowd.