Burudani
Jay-Z kununua kisiwa Bahamas kwaajili ya familia
Ukiwa na utajiri wa zaidi ya dola milioni 400, si kitu cha kufikiria mara mbili kununua kisiwa kwa dola milioni 3 huko Bahamas.
Jay-Z ananunua kisiwa chake mwenyewe huko North Abaco ili mkewe BEYONCE na mwanae BLUE IVY wawe na mapumziko bila karaha.
Chanzo kimoja kimoja kimeliambia gazeti la The Sun kuwa anataka kuwa na kisiwa kama cha Necker cha bilionea wa ingereza Richard Branson.