Burudani

Jay Z adaiwa kufungua tawi la club yake ya 40/40 jijini Kampala

The Insider ya Uganda imeripoti exclusively kuwa Club ya 40/40 iliyoko New York, Marekani inayomilikiwa na mfanyabiashara na rapper Shawn Corey Carter aka Jay Z, imefungua tawi jijini Kampala, Uganda.

jay-z

Tawi hilo 40/40 club ya Kampala ambalo linadaiwa kuwa ndio la kwanza kwa Afrika nzima limefunguliwa rasmi Ijumaa iliyopita September 26.

4040 kampala
40/40 ya Kampala kwa ndani

Taarifa hiyo imeongeza kuwa club hiyo ina mpango wa kufungua matawi mengine Afrika Mashariki.

40 40 newyork
40/40 ya New York

Source: THEINSIDER.UG

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents