Habari
Jaguar kuja na Kigeugeu
Mwanamuziki tuka Kenya, Jaguar ametoa wimbo mpya unaojulikana kama Kigeugeu. Akiongea rafiki yake mkubwa ambaye na ndiye aliyetupa wimbo huo Ambwene Yesaya alisema wimbo huo wameurekodia katika studio ya Ogopa Dee jay’s, iliyopo Kenya.
{mmp3}jaguar_KIGEUGEU.mp3{/mmp3}
Msanii huyo aliweza kujipatia umaarufu mkubwa baada ya kutoa kibao chake cha ‘Tumetoka Mbali’ alichomshirika AY aka Mzee wa Comercial.
{mmp3}ay_jaguar_NIMETOKA_MBALI.mp3{/mmp3}