Bongo5



Total of  2057  Shoutouts and counting..
evarist     25 April 2010 02:27 |
Fuatilia exclusive interview na AY Mzee wa Commercial hapa http://chahali.blogspot.com/2010/04/exclusive-inte rview-na-mzee-wa.html

evarist     24 April 2010 14:03 |
Exclusive: Mwana FA awajibu wanaohoji shule yake.Soma hapa http://chahali.blogspot.com/2010/04/exclusive-mwan a-fa-awajibu-wanaohoji.html

nani     18 April 2010 16:26 |
wekundu wa msimbazi oyeeeee

nani nani     18 April 2010 16:15 |
Simba 4 Yanga 3!!!!

nani nani     18 April 2010 16:13 |
Simba na Yanga 3-3

EVARIST CHAHALI     12 April 2010 16:58 | United Kingdom
Fuatilia mahojiano maalum (exclusive interview) na msanii mahiri wa Bongoflava,Hamis Mwinjuma,almaaruf MwanaFA.Yayumkinika kum-describe MwanaFA kama mmoja wa wasanii wenye elimu ya hali ya juu baada ya kuhitimu masomo yake hapa Uingereza.Pia,inatarajiwa kwamba kwa kuwa kwake nje ya nchi kwa muda mrefu kimasomo atakuwa katika nafasi nzuri ya kutupa mwanga kuhusu nafasi ya bongoflava ndani na nje ya Tanzania.Kwa mahojiano kamili fuatilia hapa http://chahali.blogspot.com/2010/04/mahojiano-maal um-na-mwanafa.html

salma abdallah     07 April 2010 23:25 | netherland
wee othman we vp www kama ww huijui simba kimapango wako so usiniingilie kbs,kila mmoja yuko huru kushout jambo apendalo,so we tulia 2

othman     21 March 2010 15:54 | maulaya
RatingRatingRatingRatingRating
Simba Simba ndio nini nani anayijuwa Simba lete habari za Maulaya sio Africa?

miss delicious     20 March 2010 15:04 | leeuwarden
RatingRatingRatingRatingRating
Simba bana inanipa raha saana

macamas     19 March 2010 20:13 | Dar ES SALAAM
RatingRatingRatingRatingRating
8) liverpool 4 man u 0

nasir     19 March 2010 16:18 |
RatingRatingRatingRatingRating
Arsenal v West Ham United
Barclays Premier League

Saturday, March 20 17:30

GAUCHO     15 March 2010 11:30 | isenye
RatingRatingRatingRatingRating
kazi kwelikweli,wazungu weusi!

othman     09 March 2010 15:13 | Athens maulaya
RatingRatingRatingRatingRating
Gaucho nimekumiza nini kaka?nasikitishwa sana na muafrica wewe kunita mie ni mtu mmbaya sana !!nakama hupendi usingie katika chati

GAUCHO     08 March 2010 13:08 | kama nanuka nipake mafuta,kama huwezi niache ulivy
RatingRatingRatingRatingRating
kwani kwenu wapi?kazi kwelikweli,watu wa aina hii wabaya sana hawakawii kuwakana hata mama zao wazazi kisa wapo hadhi fulani ya juu,usidharau kwenu :upset

GAUCHO     08 March 2010 13:06 | kama nanuka nipake mafuta,hauwezi niache kama uliv
RatingRatingRatingRatingRating
kwani wewe kwenu wapi?kazi kwelikweli yani leo kisa upo mbali basi kwenu umepasahau,usisahau ulipotoka,watu wa aina hii wabaya sana wanaweza hata kumkana mama yao mzazi,kwenu ni kwenu tu hata paweje! :upset

othman     06 March 2010 10:28 | Athens maulaya
RatingRatingRatingRatingRating
hatutaki propaganda katika chati ?kama ku na mtu anauchungu na nchi yake rejea kwenu Africa!!

ramsy     05 March 2010 13:50 | pretoria south africa
RatingRatingRatingRatingRating
hizi habari zinaboa 2 weeks TID kamvesha pete mchumba kwaiyo hakuna habari mpya

shaibu hamisi     04 March 2010 15:03 | songea
RatingRatingRatingRatingRating
inaboaaaaaaaaaa! issue za kuweka habari mawiki kibao ndo nini? mpaka 2nachukia sasa kuingia bongo5 mana 2nasoma mi-habari 2liyosoma 9 weeks zilizopita.kwa hii mna2fanya 2ikimbie bongo5.jirekebisheni bwanaaaaa!!!!!!!!!. :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh :sigh

docter     03 March 2010 00:43 | afuganistan
RatingRatingRatingRatingRating
hi wamiliki wa b5 wekeni habari update msituwekee vimeo kuonekana mwaka mzima ,natumai kazi haijakushindeni,,,ok salam zao nyote ,,,and sey happy bathday to my pupy

othman     28 February 2010 16:43 | nipo home townndani ya maulaya Athens
RatingRatingRatingRatingRating
wafrica na m lie tu kwa jua na joto hhahhhh?sie wajanja tunapigwa na baridi

savio     28 February 2010 02:45 | kigambonino
RatingRatingRatingRatingRating
yaan kesho lazima tubebe kombe mpende msipende....HAHAHA..najua kuna watu macho yashawatoka....COME ON MAN UTD

kapenya     27 February 2010 19:55 | dar es salaam
RatingRatingRatingRatingRating
Wema wako sio 2nda litakalo Oza.!
wala sio wino utakaofutika.!

docter     26 February 2010 22:23 | ireland
RatingRatingRatingRatingRating
happy bathday mabii muhammad S A W,

my rachel     23 February 2010 14:27 |
RatingRatingRatingRatingRating
khaaaaaaa yaHani lol..makubwa...

debra     19 February 2010 08:46 | Ngusero Mbauda kwa Mromboooo
RatingRatingRatingRatingRating
Mara ingine tena,
Kila heri im so so happy to be here!
Amani na upendo kwa wote mlio wa ukweli
My Boss
My nanihii
Wadogo zangu woooote
Haters zangu pia...One luv
Moko luv kwa wote mlio wa ukweli,NAWAPENDA SANA!
Edo Ndaki....one luv braaa

chescomatunda     16 February 2010 11:31 | dar
RatingRatingRatingRatingRating
Khaa ivi lini hali hii itakwisha maana maisha magumu kila siku zinavyokwenda kwani maisha bora ni kwa wana mitandao tuu wengine hawana haki ya maisha bora? maji shida ,elimu mbinde , makazi bora hakuna jamani natuma salaam tuu hizi kwa wahusika popote pale walipo ziwafikie.

kapenya     15 February 2010 20:58 | dar es salaam
RatingRatingRatingRatingRating
SAMAHANI KAMA UKO MJINI HILI GARI NDIO LILOBEBA VIFAA VYA UMEME LIMEPOTEA NJIA, HALIKUJUI FUMBA. KAMA UTAKUA UMELIONA NJIANI TOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE ILI IKAMATWE LIPELEKWE FUMBA WANANCHI WA ZNZ WAPATE UMEME HALI NGUMU MPK SS..2NATEGEMEA MSAADA KUTOKA KWAKO ASANTE.

lidya     10 February 2010 21:48 |
RatingRatingRatingRatingRating
free sms vipi ndo hakunaga tena ondoeni basi matangazo yake achen ushoga

benmugashe     05 February 2010 17:08 | Dar TZZZZZZZZ
RatingRatingRatingRatingRating
Happy Birthday My dear CCM...

PKJ Unabishaaa?

m4real     05 February 2010 11:26 | Kali
RatingRatingRatingRatingRating
To all ma friends we put down 2gether in BTHS 05\'-\'06.Damn..! been a longtym.

miss delicious     01 February 2010 14:52 |
RatingRatingRatingRatingRating
wotz up ma pipo!

PKJ     01 February 2010 11:43 | My Back
RatingRatingRatingRatingRating
Everyone has a right to be stupid..:grin :eek

kumida55     01 February 2010 08:58 | Dubai
RatingRatingRatingRatingRating
T.I.D Mzee wa zeze LIVE IN DUBAI Feb,4,5 RUSH INN HOTEL CLUB CASURINA BUR-DUBAI....PAMOJA TUNAWAKILISHA...I.Q

Yassern     31 January 2010 21:19 |
RatingRatingRatingRatingRating
nategemea wikiendi imemalizika vizuri kwa familia nzima ya bongo5!!baada ya kutoka mkwakwani Neshino stediumu kuangalia mpira wa man\"killer\" Vs Ah SAY No... nimepitia kutoa salam zangu kwa ndugu yangu SHirima, zimfikie huko huko kwenye hodi ya mwaisela muhimbili na wengine siwataji naogopa mkong\'oto! ujumbe: kwann uumize roho,hama mtaa kama unaona haukufai,huku karibu na old traford kuna viwanja bei poa.

mapo     30 January 2010 14:44 |
RatingRatingRatingRatingRating
wazeeeeeeeeeeiiiiiiiiiiiya nioajee...........! mko kimya sanaaaaaaaaa......!

Teachmaker     19 January 2010 15:59 | KAHAMA
RatingRatingRatingRatingRating
MAMBO VP NDANI YA BONGO5.MWANAMPOTEVU HAPA.WALE WENYEJI WANANISOMA. :x

nagham     12 January 2010 20:16 |
RatingRatingRatingRatingRating
oya mabo zenu vipi ? nawapa hi wadau wote wa bongo5

PKJ     06 January 2010 12:36 |
RatingRatingRatingRatingRating
Smart Talented Unique Person In Demand

S.T.U.P.I.D

mapo     05 January 2010 14:35 |
RatingRatingRatingRatingRating
hollaaaaaaaaaaaaaaaa....! fellazzzzzzzzzz :eek

PKJ     05 January 2010 10:34 | My Back
RatingRatingRatingRatingRating
All friendly and likable people seems dead; Only the haters and fools are alive! Haters keep on hating, Fools u know how to do with it!

HAPPY TWENTY TEN HATERS and FOOLS

rachelptr     04 January 2010 00:43 | Italy
RatingRatingRatingRatingRating
Heri ya mwaka mpya wana bongo5 wote,mungu ametujalia kuuona mwaka mwingine tena, tujitahidi kufanya mazuri na yale tulioshindwa mwaka jana mwenyezi mungu atusaidie kuyafanya kwa mwaka huu happy new year all.

Yassern     02 January 2010 18:10 | mpanda
RatingRatingRatingRatingRating
nawatakia mwaka 2010 kuwa ni mwema na wenye baraka zote wanafamilia nzima ya bongo Gwala...tusahau na tusameheane kwa tuliokoseana..tuondokane na HATE,MISCHIEVES & JEALOUS..tuweke VISIONS ZETU KWENYE REALITIES..! salama hizi pia ziwafikie ustadhi kaka Gaucho(alieko huko igalula),markz27(hukohuko mwakidila,ingawa sio mbongo siku hizi),maalim moody (mzee wa ndizi + pilipili kwenye maulid za watu,bila kusahau mfuko wake wa rambo uliojaa mafuta kwa kubebea mpunga0),wapwa zangu PkJ,shirima,213RiZ,Debbie,Lawa skwea,mzee wa \"HAMA\" maalim Othman..na wengine wengi majina kapuni.ujumbe tuufanye mwaka 2010 kuwa ni wa kufanyikisha kila lililo jema kwetu,pia kusahau mabaya yote na kusameheana kwa tulikoseana...kuweka furaha kwenye mioyo yetu kujenga umoja ndani na nje ya mioyo yetu ,kupendana na kuheshimiana. kila la kheri katika mwaka huu kwa wote...Luv,respect,unity..pmoja!!

Jenna     31 December 2009 19:46 | Germany
RatingRatingRatingRatingRating
Frohes Neues Jahr! Happy New Year for all my friends in Bongo5!

Lonely Shirima     31 December 2009 14:07 |
RatingRatingRatingRatingRating
WANA BONGOGWAFALA POPOTE PALE MLIPO NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2010, TUZIDI KUWA JUU

PA1 TUTAFIKA BONGOGWAFALA KARIBU 2010 NAWAKARIBISHA WOTE ...........

2010

my rachel     31 December 2009 11:13 |
RatingRatingRatingRatingRating
happy birthady osssss sorry happy X- Mass uwwwwwwww jamani ulimi huu hapy Easter opssssssss......i wish you all my peoplssssssssss Happy New Year kuweni makini shetani anatafuta mtu wa kunfuga nae .......

mrabulo     31 December 2009 06:14 |
RatingRatingRatingRatingRating
happy ya mwaka mpya ,Mbona natuna Sms washirika?

nagham     30 December 2009 19:27 |
RatingRatingRatingRatingRating
i wish all the best people of bongo5 a happy new-year :)

GAUCHO     30 December 2009 18:58 | rasi ya tumaini jema
RatingRatingRatingRatingRating
happy new year na heri ya mwaka mpya wote nawatakieni,bye 2009 karibu 2010,pamoja,nawapenda sana watu wangu,sijawatupa

lulwa     30 December 2009 16:17 |
RatingRatingRatingRatingRating
May The Year 2010 Bring for You Happiness,Success and filled with Peace,Hope & Togetherness of your Family & Friends....Wishing You a...*HAPPY NEW YEAR*

mapo     29 December 2009 17:39 |
RatingRatingRatingRatingRating
Jaaaaaaaaaammmani, eeeeeeeeeeeee! heri ya mwaka mpyaaaaaaaaaa........!

  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »
© 2006-2010 Bongo5 Media Group. All Rights Reserved.
Designed by Tristar