Burudani

Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa

Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu.

idris house

Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake:

“Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo cha jamii honestly I need to have a good house, Alikuwa boss wangu ni mwenye kampuni ya Alosco, niko nae karibu, amenipa, amenipa ina kama muda, nahamia huko Jumapili.” Amesema Idris kupitia 255 ya XXL ya Cl;ouds Fm.

Idris5
Idris akiwa mbele ya mjengo wake

Idris alipost Instagram picha ya nyumba hiyo iliyoko Mbezi na kumshukuru mtu aliyempa aitwaye Ghalib Said Mohammed ambaye alikuwa ni boss wake.

“I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like “you will never make it” to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good hearted people is a dream. I stand today and say “my name is Idris Sultan and am not that special, that unique, that strong than most of you. I just dared to go for what i want, put my heart to it and here i am today. This is just the beginning. You’re welcome to join.” Ghalib Said Mohammed you’re a man with a golden heart i will love to be like you in a blink of an eye. Thank you for my new house. #Godbless #Alhamdulillah #GSM #dream #achieve #dare #youCan #success”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents