Burudani

Huu ni ukweli kuhusu Kanye West na ujio mpya wa shindano la American Idol

Kanye West hayupo kwenye mazungumzo yoyote na NBC ama mtu mwingine kwaajili ya kujumuika kwenye ujio mpya wa shindano la American Idol.

Taarifa hiyo ya TMZ inakinzana na zile zilizokuwepo awali.
Kuna ripoti zinaenea kuwa NBC na watayarishaji wanataka kumleta Kanye West kama host, na kwamba mazungumzo yanaendelea.

Vyanzo vilivyopo karibu na Kanye vimesema, “There is no conversation with Kanye West to join ‘American Idol’ or any other show for that matter.”

Kumekuwepo na tetesi kuwa NBC inairudisha tena show hiyo baada ya kuisitisha.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents