Burudani

Hii ni kazi ambayo Jux angefanya kama asingekuwa msanii

Unadhani kama Jux asingekuwa msanii angefanya kazi gani?

12751340_948753158534317_217130013_n-1

Msanii huyo wa muziki wa R&B, amesema kama asingekuwa msanii angeingia kwenye fashion na kuwa kama mshauri tu. Akiongea na I advertising Magazine, Jux amesema, “Kama nisingekuwa mwanamuziki ningeweza kuwa mtu yeyote katika masuala ya fashion.”

“Labda kama mshauri au kama alivyokuwa Kanye West, wangekuwa watu wananifanyia. Ningetengeneza kitu changu kama sasa hivi nina brand yangu ya African Boy nahisi nipo vizuri katika hivyo vitu zaidi lakini nisingekuwa model ningekuwa kama mshauri tu kwenye mambo ya fashion,” aliongeza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents