Mitindo

Herieth Paul (Tanzania) aongoza orodha ya models 10 wa Afrika wanaofanya vizuri duniani

Mrembo wa Tanzania mwenye makazi yake jijini New York, Marekani, Herieth Paul ameongoza orodha ya models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi kimataifa.

herieth-Paul-gap-spring-2014-campaign-FAB-Magazine

Orodha hiyo imetolewa na mtandao wa Africa News. Mfahamu zaidi Herieth kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye mwishoni mwa mwaka jana.

Warembo wengine waliopo kwenye orodha hiyo kuanzia namba mbili ni:

2.Maria Borges – Angola

20130708122359_00013

3. Betty Adewole (Nigeria, Uingereza)

Harieth-Paul-Betty-Adewole-Sebastian-Kim-Teen-Vogue-06

4. Ajak Deng (Sudan Kusini)

24664-500w

5. Roberta Narciso (Angola)
TO2WAugust13-Legion-ValerioUmaliDuardo24-700x912

6. Malaika Firth (Kenya)

Malaika-Firth-1

7. Liya Kebede (Ethiopia)

IMAN-Editor-Liya-Feature-600x400

8. Candice Swanepoel (Afrika Kusini)

candice-swanepoel-hot-vs-sport-pics-part2-5

9. Fatima Siad (Somalia)

Fatima-Siad_001

10. Anais Mali (Chad)

3105

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents