Michezo
Haya ni matokeo ya mechi za Uefa za Jumanne hii
Haya ni matokeo ya mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya Uefa zilizo chezwa Jumanne, 14 Februari 2017, ikiwa ni raundi ya mtoano ya timu 16 kwa mechi za kwanza.
Matokeo haya hapa chini ya mechi za Jumanne, 14 Februari 2017
Benfica 1 Borussia Dortmund 0
Paris Saint Germain 4 Barcelona 0
Leo Jumatano, 15 Februari 2017 inaendelea kwa gemu mbili
Bayern Munich v Arsenal
Real Madrid v Napoli