Burudani

Hawa ndio mastaa 20 wa kike Bongo wenye followers wengi Instagram

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 wa kike Bongo wenye followers wengi kwenye mtandao huo wakiongozwa na malkia wa filamu nchini Madam Sepenga.

Tazama hapa chini orodha hiyo iliyowajumuisha mastaa kibao wakiwemo waigizaji, wasanii wa muziki, wanamitindo na wafanyabiashara kwenye tasnia ya burudani.

1.@ wemasepetu – 2.5M

2.@ wolperstylish – 2.4M

3.@ jokatemwegelo – 2.3M

4. @shilolekiuno_badgirlshishi – 2.2M

5.@auntyezekiel – 2.2

6.@vanessamdee – 2.1M

7.@shamsaford – 2M

8.@ elizabethmichaelofficial – 1.9M

9.@ officiallinah – 1.9M

10.@rossendauka – 1.7M

11.@new_kajala – 1.7M

12.@jidejaydee – 1.3M

13.@hamisamobetto – 1.3M

14.@monalisatz – 1M

15.@nishabebee – 1M

16.@snuramushi – 978K

[email protected] – 914K

18.@queendarleen_ – 913K

19.@official_batuliactress – 820K

20.@ireneuwoya8 – 747K

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents